Tume ya kurekebisha Sheria Zanzibar imeundwa na makamishna sita ambao watano kati yao ni makamishna wa muda na mmoja huteuliwa kuwa Kamishna wa kudumu ambae pia ndie Mwenyekiti wa Tume.
Aidha Tume ina Katibu ambae ndiye ndie mtendaji mkuu wa shughuli za kila siku za Tume. Mwenyekiti, Makamishna na Katibu wa Tume huteuliwa na Mhe. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
Majukumu ya msingi ya Tume yameainishwa katika kifungu cha 4 cha Sheria iliyoanzisha Tume hiyo namba 16/1986 ambayo ni pamoja na:-