SMZ
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar

SMZ

Orodha ya Majarida


Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar katika kufikisha elimu ya Sheria kwa Jamii ya watu wa Zanzibar na Tanzania kwa Ujumla, inaendelea kufanya juhudi za kufikisha elimu hiyo ya Sheria kwa kutoa matoleo mbali mbali ya Majarida yenye lengo la kuelimisha Jamii. Kupitia ukurasa huu utaweza kupakuwa "Download" majarida hayo yaliyoandaliwa;

Nam. Pakua Jarida Jina la Jarida. Namba ya Toleo/ Mwaka / Kipindi
1. jarida Ifahamu Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar 001
Januari - Disemba 2020
2. jarida Mirathi ya Kiislamu na Mambo ya Kuzingatiwa Kisheria
002
Januari - Juni 2021
3. jarida Uhusiano wa Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar na Taasisi Nyengine
003
Julai - Disemba 2021
4. jarida Dhana ya Sheria na Uchumi wa Buluu
004
Januari - Juni 2022
5. jarida Dhana ya Udhalilishaji
005
Julai - Disemba 2022
Tanzania Census 2022